Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Mawazo ya mwenye haki ni ya haki; mashauri ya mwovu ni ya udanganyifu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:5
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ninafikiri juu ya kanuni zako, na kuangalia njia zako.


Unichunguze, ee Mungu, unijue moyo wangu, unipime, uyajue mawazo yangu.


Matazamio ya wenye haki yana matokeo mazuri; tamaa za waovu zinaleta kasirani.


Muke mwema ni taji la utukufu kwa mume wake. Anayemupatisha mume wake haya ni kama kidonda ndani ya mifupa yake.


Maneno ya waovu shabaha yake ni kuua, lakini kinywa cha mutu wa usawa kinaokoa.


Hekima ya mwenye akili inamwonyesha njia yake, lakini upumbafu wa wapumbafu unawadanganya wenyewe.


Mupango mupambafu anaofikiri ni zambi; mwenye kuzarau anachukiwa na kila mutu.


Waovu waache njia zao mbaya, watu wabaya waachane na mawazo yao mabaya; wamurudilie Yawe apate kuwahurumia, wamwendee Mungu wetu maana atawasamehe.


Wewe Yerusalema, usafishe maovu ya moyo wako, kusudi upate kuokolewa. Mpaka wakati gani utaendelea kuchunga maovu?


Kila mutu ajiepushe na jirani yake, wala asimwaminie ndugu yake! Maana ndugu ni mudanganyifu na kila jirani ni musingiziaji.


Wanalundika matendo ya kuzulumu juu ya mengine, nao udanganyifu juu ya udanganyifu. Wanakataa kunitambua mimi. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Herode alipoona kwamba wale watu wenye elimu wamemudanganya, akakasirika sana. Akatuma watu Betelehemu na popote kandokando yake kwa kuua watoto wote waliokuwa na umri wa miaka miwili na chini yake. Alifanya vile kufuatana na jinsi alivyohakikishwa na wale wenye elimu juu ya wakati nyota ilipotokea.


nao wakafanya shauri la kumukamata Yesu kwa werevu na kumwua.


Kwa hiyo musihukumu mutu mbele ya wakati uliopangwa; mungojee mpaka Bwana atakaporudia. Yeye ndiye atakayeonyesha wazi katika mwangaza mambo yote yaliyofichwa katika giza na kufunua nia za siri za watu. Halafu kila mutu atapokea sifa anayostahili toka kwa Mungu.


Tumekataa mambo ya kisirisiri na ya haya. Hatuna mwenendo wa udanganyifu wala hatupotowi neno la Mungu. Lakini tunajulisha waziwazi ukweli kusudi tuvute kila mutu kutuaminia katika zamiri yake mbele ya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ