Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:23
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.


Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.


Wenye hekima wanalinda maarifa, lakini kusemasema kwa mupumbafu kunaleta maangamizi haraka.


Ulimi wa mwenye hekima unaeneza maarifa, lakini watu wapumbafu wanamwanga maneno ya ujinga.


Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.


Hata anapopita katika njia, anakosa akili, anamwambia kila mutu kwamba yeye ni mupumbafu.


Mupumbafu hapendezwi na ufahamu; kitu cha maana kwake ni maoni yake tu.


Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.


Saulo akajibu: “Alituambia waziwazi kwamba punda wamepatikana.” Lakini Saulo hakumwelezea kwamba Samweli alimwambia kwamba atakuwa mufalme.


Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; sikumwambia mutu yeyote yale ambayo Mungu alikuwa ameyaweka ndani ya moyo wangu kwa ajili ya Yerusalema. Lakini siku moja usiku, nikaondoka na kutwaa watu wachache tu. Sikupeleka nyama yeyote isipokuwa punda niliyepanda juu yake mimi mwenyewe.


Wakubwa hawakujua pahali nilipokuwa nimekwenda wala nimefanya nini. Tena nilikuwa sijawaambia Wayuda, makuhani, viongozi, wakubwa wala wale watu ambao wangefanya kazi ya kujenga upya muji.


Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ