Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mutu muzuri anapata rehema za Yawe, lakini mwenye nia mbaya analaaniwa na Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abusaloma alimwambia: “Maneno yako ni ya haki kabisa. Lakini hakuna mutu yeyote aliyechaguliwa na mufalme kwa kukusikiliza.”


Mutu muzuri anakopesha bila faida; anafanya shuguli zake kwa kutumia haki.


kusudi nitangaze sifa zako mbele ya watu wa Sayuni, nipate kushangilia kwa sababu umeniokoa.


Basi, mutakula matunda ya mienendo yenu, mutageukiwa na mashauri yenu wenyewe.


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


Mwenye kuwaka hasira haraka anatenda kipumbafu, lakini mwenye akili ana uvumilivu.


Anayepanga kutenda maovu kweli anakosa! Wanaopanga kutenda mazuri watapata mema na uaminifu.


Hivyo utakubaliwa na kusifiwa, mbele ya Mungu na mbele ya wanadamu.


moyo unaopanga mipango miovu, miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,


Anayenipata mimi amepata uzima, na upendeleo kutoka kwa Yawe.


Hakuna mutu anayekuwa na uwezo wa kushikilia roho yake kusudi asikufe; hakuna mutu anayekuwa na uwezo juu ya siku ya kufa. Wakati wa vita hakuna kuponyoka, na uovu hauwezi kumwokoa mwovu.


Barnaba alikuwa mutu mwema, mwenye kujazwa na Roho Mutakatifu na mwenye imani sana. Na watu wengi wakaongezeka kwa Bwana.


Ni vigumu kwa mutu kukubali kufa kwa ajili ya mwenye haki. Labda mutu anaweza kujitolea kufa kwa ajili ya mutu mwema.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ