Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Ujinga wa mupumbafu unajulikana mara moja, lakini mwerevu anazarau matusi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:16
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kweli mahangaiko yanamwua mupumbafu, na wivu unamwangamiza mujinga.


Chuki inaleta ugomvi, lakini upendo unafunika makosa yote.


Musema kweli anatoa ushuhuda wa kweli, lakini mushuhuda wa uongo anasema udanganyifu.


Hekima iko ndani ya moyo wa mutu mwenye akili, lakini haipatikani hata kidogo ndani ya moyo wa mupumbafu.


Hekima ni chemichemi ya uzima kwa yule anayekuwa nayo, lakini upumbafu ni azabu ya wapumbafu.


Anayesamehe makosa anajenga urafiki, lakini anayekumbusha makosa anatenga warafiki.


Mutu asiyeweza kuzuia hasira yake ni kama muji usiokuwa na ulinzi unaposhambuliwa.


Jiwe ni zito na muchanga vilevile, lakini uchokozi wa mupumbafu ni muzito zaidi.


Mupumbafu anaonyesha hasira yake wazi, lakini mwenye hekima anaizuia na kuituliza.


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ