Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 12:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 12:10
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Afazali mutu wa chini anayejitegemea kuliko yule anayejitakia makubwa na kukosa chakula.


mpaka nitakapokuja na kuwapeleka katika inchi kama hii yenu, inchi yenye ngano na divai, inchi yenye mukate na mashamba ya mizabibu.


Yule mwanamuke akamwambia: “Bwana, hauna chombo cha kutekea, na kisima ni kirefu sana. Basi umepata wapi maji ya uzima?


Kwa maana imeandikwa hivi katika Sheria ile: “Usifunge kinywa cha ngombe anapokanyaga ngano.” Mungu anashugulikia ngombe?


Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?


Adoni-Bezeki akasema: “Wafalme makumi saba waliokatwa vidole gumba vya mikono na miguu waliokota makombo chini ya meza yangu. Sasa Mungu amenilipa kama nilivyotenda.” Wakamupeleka Yerusalema, akakufia kule.


Lakini akawaambia: “Nitafanya mapatano nanyi kwa shurti hii moja: nitamwongoa kila mumoja wenu jicho lake la kuume. Hivyo nitawapatisha Waisraeli wote haya.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ