Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Haki ya watu wa usawa inawaokoa na hatari, lakini wafitini wananaswa kwa tamaa zao wenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 11:6
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hivyo, siku zinazokuja, uaminifu wangu utaonekana waziwazi utakapokuja kuangalia mushahara wangu. Mbuzi yeyote asiyekuwa na madoadoa au matakamataka, au kondoo yeyote asiyekuwa mweusi akionekana katika kundi langu, yule atakuwa ameibiwa.”


Umepata kitu gani kinachokuwa chako hata kupekua mizigo yangu yote? Ukiweke mbele ya wandugu zangu na wandugu zako, kusudi wao waamue kati yetu sisi wawili!


Mufalme aliendelea kumwambia Simei: “Unayajua wazi maovu uliyomutendea baba yangu Daudi. Sasa, kwa sababu ya hayo, Yawe atakuazibu.


kusudi nitangaze sifa zako mbele ya watu wa Sayuni, nipate kushangilia kwa sababu umeniokoa.


Asiyemwogopa Mungu anaangamiza wengine kwa kinywa chake, lakini mwenye haki anaokolewa kwa maarifa yake.


Mutu mwovu ananaswa kwa uovu wake mwenyewe; anakamatwa na vifungo vya zambi yake mwenyewe.


Yeye anayechimba shimo anatumbukia ndani yake mwenyewe, anayebomoa ukuta anaumwa na nyoka.


Halafu Waisraeli wakageuka kwa kupigana, na watu wa kabila la Benjamina wakashikwa na woga maana sasa waliona kwamba kuangamia kwao kulikuwa kumekaribia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ