Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 11:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Ikiwa mwenye haki anapata malipo hapa katika dunia, hakika mwovu na mwenye zambi watalipwa!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 11:31
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe alinitendea kwa kadiri ya haki yangu; alinilipa kwa vile mikono yangu haina kosa.


Yawe amenilipa kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya usafi wangu mbele yake.


Alipokuwa anakwenda zake, simba akakutana naye katika njia, akamwua. Mwili wake ukatupwa pale katika barabara. Punda wake na yule simba wakasimama pembeni yake.


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


Wanaotenda zambi wanapatwa na hasara, lakini wenye haki wanafanikiwa.


Mutu anayemulipa mupumbafu au mulevi kusudi amutumikie, ni kama mupiga upinde anayeumiza kila mutu.


Yawe anasema hivi: Nitauazibu ulimwengu kwa uovu wake, waovu kwa sababu ya makosa yao. Nitakikomesha kiburi cha wenye majivuno, na kuporomosha mazarau ya watu wakali.


Lakini ole kwao watu waovu! Mambo yatawaendekea vibaya, maana yale waliyotenda yatawapata wao wenyewe.


Ikiwa ninaanza kuleta hasara katika muji unaojulikana kwa jina langu, basi ninyi munazani kwamba munaweza kuepuka azabu? Hamutaachwa bila kuazibiwa, maana ninaleta mauaji juu ya wakaaji wote wa dunia. –Ni ujumbe wa Yawe.


Walawi walioniacha wakati ule Waisraeli walipojitenga nami kwa kufuata miungu yao, watabeba azabu yao.


Lakini yatakayowapata watu yatawapata makuhani; nitawaazibu kwa sababu ya mwenendo wao, nitawalipiza matendo yao wenyewe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ