22 Mwanamuke muzuri asiyekuwa na akili ni kama pete ya zahabu kwenye pua la nguruwe.
Halafu nilimwuliza: ‘Wewe ni binti ya nani?’ Akaniambia: ‘Mimi ni binti ya Betueli mwana wa Milka, muke wa Nahori.’ Halafu nikamupa pete na kumuvalisha vikomo kwa mikono.
Hakika mwovu hataepuka kuazibiwa, lakini wenye haki wataokolewa.
Muke mwema ni taji la utukufu kwa mume wake. Anayemupatisha mume wake haya ni kama kidonda ndani ya mifupa yake.
Mapendezi ni udanganyifu na uzuri wa uso haukawii, lakini mwanamuke anayemwogopa Yawe atasifiwa.
Kijana akakutana na yule mwanamuke; alivaa kama kahaba, mwenye ukorofi.
Mwanamuke mupumbafu ana kelele, hajui kitu wala hana haya.
Kile kitu walichofanya kinaonyesha wazi mufano unaosema: “Imbwa amerudilia kula matapiko yake,” na: “Nguruwe aliyesafishwa amerudia tena kugaagaa katika matope!”