Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 11:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 11:18
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Mungu akawajalia mema wazalishaji wale, nao Waisraeli wakazidi kuongezeka na kuwa na nguvu sana.


Wao wanavizia na kujiangamiza wao wenyewe, wanatega mutego wa kujinasa wao wenyewe.


Mushahara wa mutu wa haki ni uzima, lakini mapato ya mwovu ni katika zambi.


Anayepanda ubaya atavuna hasara. Uwezo wake wa kutenda mabaya utavunjwa.


Mutu mwovu ananaswa kwa uovu wake mwenyewe; anakamatwa na vifungo vya zambi yake mwenyewe.


Yeye anayechimba shimo anatumbukia ndani yake mwenyewe, anayebomoa ukuta anaumwa na nyoka.


Mioyo yao imejaa udanganyifu. Sasa ni lazima wabebe makosa yao. Yawe atabomoa mazabahu zao na kuziharibu nguzo zao.


Muvunaji anakwisha kupokea mushahara, naye anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele, kusudi mupandaji na muvunaji wafurahi pamoja.


Basi munapaswa kutupilia mbali ile hali yenu ya zamani, ule utu wenu wa zamani unaopotoka kufuatana na tamaa zake za udanganyifu.


Na tunda la haki linapandwa katika amani na wale wanaopenda amani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ