Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 11:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 11:13
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.


Anayemuzarau jirani yake hana akili; mutu mwenye ufahamu anakaa kimya.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


Mushuhuda mwaminifu hasemi uongo, lakini asiyeaminiwa anabubujika uongo.


Mwenye akili hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni utukufu kwake.


Mupiga domo hafichi siri. Kwa hiyo umwepuke mutu wa kusemasema.


Utengeneze ugomvi na mwenzako peke yake, na kila mumoja wenu asitoe siri ya mwenzake;


Kisha, wakubwa walimufikia Yeremia wakamwuliza mambo hayo, naye akawajibu kama vile mufalme alivyomwelekeza. Halafu waliacha kuzungumuza naye kwa sababu hakuna mutu aliyekuwa amesikia mazungumuzo yake na mufalme.


Usipitepite hata kidogo ukiwachongea watu wa jamaa yako. Usitie maisha ya mwenzako katika hatari ya kifo kwa maneno yako. Mimi ni Yawe.


Na zaidi ya hiyo, wanashikwa na uvivu na kuwa na tabia ya kutangatanga nyumba kwa nyumba. Na si ile tu, vilevile wao ni wakatetea na wenye kujiingiza katika maneno ya watu wengine na kusema maneno yasiyofaa.


Wale watu wakamujibu: “Uzima wenu ni uzima wetu! Kama hamutaifichua siri yetu, Yawe atakapotupa inchi hii, tutakutendea kwa wema na uaminifu.”


Lakini kama ukimwambia mutu yeyote juu ya shuguli hii yetu, basi, sisi hatutatimiza kiapo ulichotuomba tukuapie.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ