Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 11:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Watu wa haki wakipata fanaka, muji unashangilia. Waovu wakiangamia, watu wanapiga vigelegele.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 11:10
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo, watu wote walipata furaha na muji wote ulikuwa mutulivu, nyuma ya Atalia kuuawa kwa upanga katika nyumba ya kifalme.


Alipochungulia akamwona mufalme mupya akisimama karibu na nguzo kwenye mulango, wakati majemadari na wapiga baragumu wakiwa kando ya mufalme na wakaaji wote wakishangilia na kupiga baragumu; nao waimbaji wakiwa na ala zao za muziki wakiongoza watu katika sherehe; halafu akapasua nguo yake na kusema kwa sauti kubwa: “Uasi! Uasi!”


Kwa hiyo wakaaji wote wakajaa na furaha; na muji wote ukakuwa mutulivu nyuma ya Atalia kuuawa kwa upanga.


Upepo unamupigia vigelegele anapokimbia, na kumuzomea toka pahali pake.


Miriamu akawaongoza kwa kuimba: “Mumwimbie Yawe maana ameshinda kwa utukufu. Farasi na mupanda-farasi wake amewatupa ndani ya bahari.”


Muji unafanikishwa kwa baraka za watu wa usawa, lakini unaangamizwa kwa kinywa cha waovu.


Watu wa haki wakipata madaraka, kuna utukufu mukubwa. Lakini waovu wakitawala, watu wanajificha.


Waovu wakitawala, watu wanajificha. Lakini wakiangamia, wenye haki wanaongezeka.


Wenye haki wakiongozeka, watu wanafurahi. Lakini waovu wakitawala, watu wanalalamika.


Kisha mbingu, dunia na vyote vinavyokuwa ndani yao vitaimba kwa furaha juu ya kuanguka kwa Babeli, wakati waangamizaji watakapofika kutoka upande wa kaskazini kuushambulia. –Ni ujumbe wa Yawe.–


“Ee Yawe, waangamie waadui zako wote! Lakini warafiki zako wakuwe kama jua, wakati linapochomoza kwa mwangaza mukubwa!” Inchi ya Waisraeli ikakuwa na amani kwa muda wa miaka makumi ine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ