Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:4
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku ileile watumishi wa Isaka walimufikia na kumupasha habari za kile kisima walichokuwa wamechimba, wakasema: “Tumepata maji!”


Mwenye akili anakusanya wakati wa mavuno. Kulala wakati wa kuvuna ni haya.


Kuna watu wanaotoa mali yao kwa wingi na kuzidi; lakini wachoyo wanazilinda na kuendelea katika umasikini.


Kuwa na bidii kutamupa mutu cheo, lakini uvivu utamufanya mutumwa.


Mwindaji muvivu hatapata anachowinda, lakini mwenye bidii atafanikiwa.


Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


Mutu muvivu katika kazi yake ni ndugu ya muharibifu.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Muvivu anatia mukono wake katika sahani lakini hauinui mpaka kwenye midomo.


Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.


Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.


Mipango ya mutu wa bidii inaleta mali kwa wingi, lakini kila mutu anayetenda kwa harakaharaka anapata umasikini.


Kutokana na uvivu wa mutu, paa ya nyumba inaanguka; kwa sababu ya uregevu, nyumba inavuja.


Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


Basi wandugu zangu wapenzi, musimame imara bila kutikisika. Muendelee kumutumikia Bwana siku zote, mukijua kwamba masumbuko munayopata kwa ajili ya Bwana hayatapita bure.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ