Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

30 Wenye haki hawataondolewa katika inchi hata kidogo, lakini waovu hawatakaa katika inchi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:30
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata hivyo, mutu wa haki anashika njia yake, mutu ambaye hajafanya ubaya kwa mukono wake anazidi kuwa na nguvu.


Hatashindwa hata kidogo; atakumbukwa milele.


Wimbo wa safari za kidini. Wanaomutegemea Yawe, wako kama mulima Sayuni, ambao hautikisiki lakini unabaki imara siku zote.


Siku zote Yawe ni mbele yangu; yeye yuko pamoja nami, wala sitatikisika.


Waliobarikiwa na Yawe watarizi inchi, lakini waliolaaniwa naye wataongolewa.


Wewe unapenda ubaya kuliko uzuri, unapenda uongo kuliko ukweli.


Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.


Nao wakamujibu: “Atawaua hao watu wabaya pasipo huruma, naye atapatana na walimaji wengine kwa kutunza shamba lake na kumupatia sehemu yake ya matunda kwa wakati wa mavuno.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ