Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Yawe hawaachi wenye haki wapate njaa, lakini anapinga tamaa za waovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:3
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anatangatanga kutafuta chakula, akisema: “Kiko wapi?” Anajua kwamba siku ya giza inamukaribia.


Mali zake zitanyanganywa katika siku ya kasirani ya Mungu.


Atakuepusha toka kifo wakati wa njaa, toka mapigo ya upanga wakati wa vita.


Lakini wewe unawaona wenye taabu na shida; nawe uko tayari kuwasaidia siku zote. Muzaifu anakutegemea wewe, ee Mungu, wewe umekuwa siku zote musaada wa yatima.


Watu waovu wanaona hayo na kuuzika. Wanasaga meno kwa chuki na kutoweka. Matumaini ya mutu mubaya yanapotea bure.


Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.


Hawatafezeheka nyakati mbaya zikiwafikia; siku za njaa watakuwa na chakula tele.


Nilikuwa kijana na sasa mimi ni muzee; hata kidogo sijaona mutu wa haki ameachwa na Mungu, au watoto wake wakiombaomba chakula.


Umutumainie Yawe na kutenda mazuri, upate kuishi katika inchi na kuwa salama.


Mwenye haki yuko na chakula cha kumutoshelea, lakini tumbo la waovu linataabika kwa njaa.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Muchoyo anachochea magomvi, lakini anayetegemea Yawe atafanikiwa.


Anayekataa kuisikia sheria, yule, hata maombi yake, ni chukizo kwa Mungu.


Mutu wa namna hiyo anaishi kwenye nafasi ya juu, pahali salama, penye pango na mawe makubwa; atapewa chakula chake siku zote, na maji yake ya kunywa hayatakosekana.


Feza yao wala zahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya kasirani ya Yawe. Kwa moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa. Kwa ukamilifu na kwa namna ya kuogopesha atawafanya wakaaji wote katika dunia watoweke.


Hivi ninyi mutafute Ufalme wake, naye atawaongezea vitu hivi vyote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ