Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Yawe ni kimbilio la watu wenye mwenendo sawa, lakini ataangamiza watenda maovu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:29
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Haki ya sheria ikifuatwa, watu wema wanafurahi lakini watu waovu wanafazaika.


Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.


Mimi nitawaimarisha watu wangu, nao watanitii na kuishi kwa kunipendeza. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Lakini wote wanaomutumainia Yawe, watapata nguvu mupya. Watapanda juu kwa mabawa kama tai, watakimbia bila kuchoka, watatembea bila kuregea.


Mutu mupumbafu hawezi kufahamu, wala mujinga hajui jambo hili:


Wanapopita katika bonde lenye kukauka la Baka, wanalifanya kuwa chemichemi, nazo mvua za kwanza zinalijaza maji.


Lakini waovu wataangamia, waadui za Yawe watanyauka kama maua katika jangwa; kweli watatoweka kama moshi.


Usikubali wenye majivuno wanishambulie, wala watu waovu wanikimbize.


Maana Yawe anashugulikia njia ya watu wa haki; lakini njia ya waovu itaangamia.


Hasara haipati watu waovu na maangamizi wale wanaotenda mabaya?


Haki inalinda wenye mwenendo sawa, lakini zambi inaangusha waovu.


Enyi watu wa Efuraimu, muko na maneno gani tena na sanamu? Mimi ndiye ninayesikiliza maombi yenu, mimi ndiye ninayewatunza. Mimi nitawapa kivuli kama cha muti wa muberoshi; kutoka kwangu mutapata matunda yenu.


Mwovu akikufa, tumaini lake nalo linatoweka. Tumaini la asiyemwogopa Mungu ni la bure.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ