Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Kwenye kuwa maneno mengi hakukosekani makosa, lakini aneyezuia ulimi wake ana akili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:19
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wingi huu wa maneno uachwe tu bila kujibiwa? Mutu wa maneno mengi anaonyesha kwamba hana kosa?


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa Yedutuni. Zaburi ya Daudi.


Anayemuzarau jirani yake hana akili; mutu mwenye ufahamu anakaa kimya.


Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


Ulimi una nguvu ya kuleta uzima na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.


Fikiri mbele ya kusema, wala usikuwe mwepesi kwa kusema neno lolote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko katika dunia. Kwa hiyo usiseme maneno mengi.


Kadiri mutu anavyohangaika zaidi, ndivyo atakavyoota ndoto; sauti ya mupumbafu ni maneno mengi.


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Wandugu zangu wapendwa, mukumbuke neno hili: kila mutu anapaswa kuwa mwepesi kwa kusikia, lakini asikuwe mwepesi kwa kusema na kukasirika.


Sisi wote tunakosa kwa njia mbalimbali. Mutu asiyekosa katika masemi yake, huyo ni mutu mukamilifu, naye yuko na uwezo wa kutawala mwili wake wote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ