Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Wenye hekima wanalinda maarifa, lakini kusemasema kwa mupumbafu kunaleta maangamizi haraka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:14
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwenye hekima akizisikiliza, zitamwongezea elimu; na mwenye ufahamu zitamupatia ujuzi.


Anayekonyeza macho kwa nia mbaya analeta taabu, lakini anayeonya waziwazi analeta amani.


Mwenye hekima anakubali maonyo, lakini mupumbafu anayesemasema mingi ataangamia.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


Anayechunga kinywa chake analinda maisha yake, mwenye midomo mirefu anajiletea maangamizi.


Mwenye moyo mupotovu hafanikiwi, na musema uongo anapatwa na hasara.


Anayejitenga na wenzake anajipendelea mwenyewe; anakasirika akipewa shauri lolote jema.


Mutu mwenye akili anajipatia maarifa; sikio la mwenye hekima linatafuta maarifa.


Kinywa cha mupumbafu kinamwangamiza mwenyewe; mudomo wake ni mutego wa kumunasa yeye mwenyewe.


Anayejipatia hekima anapenda nafsi yake; anayeshika ufahamu atastawi.


Anayechunga kinywa chake na ulimi wake, anajiepusha na matatizo.


Umufundishe mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima; umufundishe mutu wa haki naye atazidi kuwa na elimu.


Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.


Mutu muzuri anatwaa vitu vizuri toka ndani ya akiba yake nzuri, naye mutu mubaya anatwaa vitu vibaya toka ndani ya akiba yake mbaya.


“Ufalme wa mbinguni unafanana na mali iliyofichwa katika shamba moja. Mutu mumoja alipoiona, akaificha tena. Halafu kwa furaha kubwa akaenda kuuzisha vitu vyake vyote na kununua lile shamba.


Kisha akawaambia: “Basi, kila mwalimu wa Sheria aliyefundishwa katika Ufalme wa mbinguni, anafanana na mwenye nyumba anayetwaa vitu vipya na vitu vya zamani pamoja toka katika akiba yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ