Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 10:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Hizi ni mezali za Solomono: Mutoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake; lakini mutoto mupumbafu ni huzuni ya mama yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 10:1
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hizi ni mezali za Solomono mwana wa Daudi mufalme wa Israeli.


Mutoto mwenye hekima anasikia maagizo ya baba yake, lakini mwenye kiburi hasikilizi maonyo.


Mutoto mwenye hekima anamufurahisha baba yake, lakini mupumbafu anamuzarau mama yake.


Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na baba wa mupumbafu hana furaha.


Mutoto mupumbafu ni huzuni kwa baba yake, na uchungu kwa mama yake muzazi.


Mutoto mupumbafu ni hasara kwa baba yake; na ugomvi wa muke ni kama matone ya mvua yasiyoisha.


Hizi nazo ni mezali nyingine za mufalme Solomono zilizoandikwa na watu wa Hezekia, mufalme wa Yuda.


Ukuwe na hekima, mwana wangu, upate kunifurahisha moyo, nami sitakosa neno la kumujibu mutu yeyote anayenizarau.


Azabu na maonyo vinaleta hekima, lakini mutoto aliyeachiliwa anapatisha mama yake haya.


Umwazibu mwana wako naye hatakupa wasiwasi; yeye atafurahisha moyo wako.


Anayependa hekima anamufurahisha baba yake; lakini anayeandamana na kahaba anapoteza mali yake.


Basi, zaidi ya kuwa na hekima yake, Muhubiri aliendelea kuwafundisha watu ujuzi. Alipima, akachunguza na kutia kwa usawa mezali kwa ufundi mwingi.


Tena, ni nani anayejua kwamba atakuwa mwenye hekima au atakuwa mupumbafu? Hata hivyo, yeye atarizi yote niliyofanya kwa kutoa jasho na kutumia hekima yangu hapa chini ya jua. Hayo nayo ni bure.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ