Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 1:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 1:8
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwana wangu, usikubali kushawishiwa na wenye zambi.


Wewe mwana wangu usiandamane nao, uzuie muguu wako usifuatane nao.


Mwana wangu, ukikubali maneno yangu, na kushika maagizo yangu,


Umusikilize baba yako aliyekuzaa, wala usimuzarau mama yako akizeeka.


Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Kama mutu akimuchekelea baba yake na kuzarau utii kwa mama yake, macho yake yataondolewa na kibombobombo wa pori na kuliwa na tai.


Maneno ya mufalme Lemueli. Mashauri aliyopewa na mama yake:


Sikusikiliza sauti ya walimu wangu, wala kuwategea sikio wale walionifundisha.


Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;


Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.


Sisi tumeitii amri hiyo ya babu yetu Yonadabu mwana wa Rekabu siku zote, juu ya jambo alilotuamuru. Sisi hatukunywi divai hata kidogo; sisi wenyewe hatukunywi, wala wake zetu, wala watoto wetu wanaume au wanawake.


Kila mumoja wenu anapaswa kuheshimu mama yake na baba yake, na kushika Sabato zangu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.


Na kule wakamuletea mutu mwenye ugonjwa wa kupooza, akilala juu ya kipoyi. Yesu alipoona namna watu wale walivyomwaminia, akamwambia yule mwenye kupooza: “Mutoto wangu, ujipe moyo! Zambi zako zimesamehewa!”


Naye Yesu alipogeuka, akamwona na kumwambia: “Binti yangu, ujipe moyo! Imani yako imekuponyesha.” Na mwanamuke yule akapona saa ile ile.


Ninakumbuka vilevile imani yako isiyokuwa ya udanganyifu, imani ile tate muzaa mama yako Loisi na mama yako Euniki waliyokuwa nayo. Ninajua hakika kwamba wewe vilevile uko nayo.


Kwa hiyo, Ruta akakwenda kule katika kiwanja cha kupepetea, akafanya jinsi mama mukwe wake alivyomwamuru.


Mutu akimukosea mwenzake, anaweza kuombewa kwa Mungu, kusudi Mungu amusamehe. Lakini mutu akimukosea Yawe nani anayeweza kumwombea musamaha?” Lakini watoto hao hawakumusikiliza baba yao, maana Yawe alikwisha kata shauri la kuwaua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ