Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 1:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 1:4
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe anawalinda wajinga; nilipokuwa nimegandamizwa aliniokoa.


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Namna gani kijana ataweza kujichunga katika njia safi? Ni kwa kufuatilia neno lako.


Linatokea kwa upande mumoja, na kuzunguka mpaka upande mwingine; hakuna kinachoweza kuepuka joto lake.


Hata simba wakali wanakosewa na kusikia njaa, lakini wanaomutafuta Yawe hawakosewi chochote kizuri.


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


Mimi Hekima nina ujuzi; nina maarifa na akili.


Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.


“Sasa basi, wana wangu, munisikilize: heri wale wanaofuata njia zangu.


Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Humo kutakuwa barabara kubwa, nayo itaitwa Njia Takatifu. Watu wachafu hawatapitia humo, lakini wale watu wa Mungu tu; wapumbafu hawatakanyaga ndani yake,


Mushike na kutimiza masharti na maagizo hayo maana mukifanya hivyo watu wa mataifa mengine watakapopata kujua masharti hayo, watatambua kwamba ninyi ni wenye hekima na akili. Watasema hivi: ‘Kweli watu wa taifa hili kubwa wana hekima na akili!’


Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.


Vilevile uwaonye vijana wanaume wakuwe wenye utaratibu katika mambo yote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ