3 Zitawafundisha watu matendo ya hekima, haki, usawa, na sheria ya Mungu.
Watu wote wa Israeli waliposikia juu ya hukumu ya mufalme, walimwogopa. Wakatambua kwamba alikuwa na hekima ya Mungu iliyomuwezesha kutoa hukumu za haki.
Pokea mafundisho kutoka kwake; na uyaweke maneno yake ndani ya moyo wako.
Sikiliza shauri na kupokea mafundisho, upate hekima ya kukufaa kwa siku zinazokuja.
kwa kukufundisha mambo yanayokuwa sawa na kweli; na mutu akikuuliza upate kumupa jibu la kweli.
Muhubiri alijikaza kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa usawa maneno ya kweli.