Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 1:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26-27 Kwa sababu hiyo, woga utakapowapata kama zoruba, hasara yenu itakapowatokea kama upepo mukali, taabu na huzuni vitakapowapata, nitachekelea hasara yenu na kuwasimanga.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 1:26
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yule anayetawala juu mbinguni anawachekelea na kuwazarau.


Lakini Yawe anamuchekelea mwovu, kwa maana anajua mwisho wake ni karibu.


Angalia, ni matusi tu yanayotoka katika midomo yao, maneno yao ni kama panga kali; tena wanafikiri hakuna anayewasikia.


Kitu mutu mwovu anachoogopa ndicho kitakachomupata, lakini kitu mwenye haki anachotamani ndicho atakachopewa.


Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.


Azabu iko tayari kwa wenye kuzarau, na mapigo kwa migongo ya wapumbafu.


Yeye anazarau wenye mazarau, lakini anakubali wanyenyekevu.


Kutokana na hayo hasara itamupata kwa rafla; kwa rafla atapondekana vibaya wala hatapata kupona.


Kwa maana ninawaambia kwamba kati ya wale niliokuwa nimewaalika, hakuna hata mumoja wao atakayeonja vyakula vya karamu yangu.’ ”


Kama vile Yawe alivyopendezwa kuwafanikisha na kuwafanya kuwa wengi, ni vile vile Yawe atapendezwa kuwaletea hasara na kuwaangamiza. Nanyi mutaondolewa katika inchi hiyo ambayo munakwenda kuirizi.


Muende muililie hiyo miungu muliyoichagua. Muache hiyo iwakomboe katika taabu zenu!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ