Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 1:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 mumetupilia mashauri yangu yote, mumezarau maonyo yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 1:25
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwonya Manase na watu wake, lakini hawakumusikia.


Lakini wao waliendelea kuwachekelea wajumbe wa Mungu, wakayazarau maneno yake na kuwachekelea manabii wake mpaka kwa mwisho kasirani ya Yawe ikawaka juu ya watu wake hata hakukukuwa wa kuwaponyesha.


kwa sababu waliasi maagizo ya Mungu, na kuzarau mashauri ya Mungu Mukubwa.


Mimi ni Yawe, Mungu wako, niliyekutoa katika inchi ya Misri. Fungua kinywa chako, nami nitakulisha.


mulikataa shauri langu, mukazarau maonyo yangu yote.


Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.


Azabu kali ni kwa wanaoacha mwenendo mwema; yeyote anayechukia kuonywa atakufa.


Kwa hiyo utasema: “Kwa nini nilichukia mafundisho? Kwa nini nilizarau ndani ya moyo wangu?


Nina uwezo wa kushauri na kuamua vizuri. Nina ufahamu na nina nguvu.


Kwa hiyo, Yawe wa majeshi, Mungu wa Israeli anasema hivi: Ninawaletea Wayuda na wakaaji wote wa Yerusalema hasara zote nilizosema juu yao, kwa sababu mimi nilisema nao, lakini hawakunisikiliza; niliwaita, lakini hawakuniitikia.


Lakini Wafarisayo na walimu wakubwa wa Sheria walikataa mupango wa Mungu juu yao, na kukataa kubatizwa na Yoane.)


Ndipo muliporudi, mukamulilia Yawe, lakini hakuwasikiliza wala hakuwajali.


Wakati huo, ninyi mutalalamika kwa sababu ya mufalme wenu ambaye mumejichagulia ninyi wenyewe. Lakini Yawe hatawajibu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ