14 Kuja na ushirikiane nasi, vyote tutakavyopata tutagawanyana.”
Tutajitwalia mali zote za bei kali, tutazijaza nyumba zetu vitu tulivyonyanganya.
Wewe mwana wangu usiandamane nao, uzuie muguu wako usifuatane nao.
Afazali kuwa munyenyekevu pamoja na masikini, kuliko kugawanyana vitu vya unyanganyi pamoja na wenye kiburi.