Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 1:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Tutawameza wakiwa wazima kama kuzimu, watakuwa kama wale wanaoshuka katika shimo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 1:12
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

hakika tungalimezwa tukikuwa wazima, wakati hasira yao ilipowaka juu yetu.


Ee Yawe, unijibu haraka; maana roho yangu imeregea kabisa! Usinigeuzie mugongo, kusudi nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.


Zaburi ya Daudi. Ninakulilia, ee Yawe! Ewe kikingio changu, usikuwe kama kiziwi kwangu. Usikuwe kama haunisikilizi, nisikuwe kama wale wanaoshuka katika shimo la wafu.


Usiwaache waseme: “Tumefanikiwa sawa tulivyotaka!” au waseme: “Tumemumaliza huyu!”


Ee Yawe, katika haki yako, uisawanishe njia yako mbele yangu. Uniongoze kwa sababu ya waadui zangu.


Ninamulilia Mungu Mukubwa, Mungu anayenikamilishia nia yake.


Tutajitwalia mali zote za bei kali, tutazijaza nyumba zetu vitu tulivyonyanganya.


Mufalme Nebukadneza wa Babeli aliuharibu na kuuponda Yerusalema aliuacha kama chungu kitupu; aliumeza kama vile nyoka mukubwa. Alijaza tumbo lake vitu vyake vizurivizuri, akautupilia mbali kama matapiko.


Waadui zako wote wanakuzomea, wanakupigia muunzi na kukusagia meno, nao wanasema: Tumemwangamiza! Kweli, siku ile tuliyoingojea kwa hamu sasa imefika na tumeiona!


Yawe amekuwa kama adui, ameangamiza watu wa Israeli; ameharibu nyumba zake kubwa zote, amevibomoa vikingio vyake. Amewazidishia watu wa Yuda kilio na maombolezo.


Wakati huo udongo ukafunguka ikawameza, wakakufa pamoja na Kora na wafuasi wake moto ulipoangamiza watu mia mbili makumi tano; wakakuwa onyo kwa watu.


Vinywa vyao ni kama kaburi wazi, ndimi zao ni za kudanganya, ndani ya midomo yao munatoka sumu kali sawa ya nyoka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ