21 kwa maana alikuwa akijisemesha: “Kama nikigusa tu nguo yake, nitapona.”
na kumusihi awaruhusu waguse hata upindo wa nguo yake tu. Nao wote waliougusa walipona.
Watu waliokuwa na magonjwa walikuwa wakisukumana kusudi wamufikie na kumugusa kwa maana aliwaponyesha watu wengi.
Watu wote walitaka kumugusa, kwa sababu uwezo ulikuwa ukitoka ndani yake na kuwaponyesha wote.
Na hata watu walitwaa vitambaa na nguo zilizogusa mwili wa Paulo, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakapona na pepo wakatoka ndani yao.