Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 9:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Wanafunzi wa Yoane Mubatizaji wakamufikia Yesu na kumwuliza: “Sababu gani sisi na Wafarisayo tunafunga kula chakula, lakini wanafunzi wako hawafungi?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 9:14
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wengi wanajivunia kuwa wema, lakini mwaminifu wa kweli anapatikana wapi?


Yoane Mubatizaji, akiwa katika kifungo, akapata habari za mambo Kristo aliyokuwa akifanya. Basi akawatuma wanafunzi wake


“Munapofunga kula chakula, musifanye kama wanafiki, wanaojigeuza kuwa wenye sikitiko na kukunja nyuso zao, kusudi watu waone kwamba wanafunga. Kweli ninawaambia: wamekwisha kupata faida yao.


Yesu akawajibu: “Munafikiri kwamba warafiki za bwana-arusi wanaweza kufanya kilio wakati bwana-arusi angali pamoja nao? Hapana! Lakini kutakuwa siku bwana-arusi atakapoondoshwa kati yao; ni siku zile watafunga kula.


Kulitokea mabishano kati ya wanafunzi wa Yoane na Muyuda mumoja juu ya desturi zao za kujitakasa.


Yesu akatambua kwamba Wafarisayo wamepata habari kama yeye anapata wanafunzi wengi zaidi kuliko Yoane na kuwabatiza.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ