Matayo 9:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Muende kujifunza maana ya Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Ninataka huruma, lakini si sadaka zenu.’ Kwa maana sikukuja kuwaita wenye haki kunifuata, lakini watenda mabaya.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |