Matayo 8:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Yesu alipofika ngambo ingine ya ziwa la Galilaya, katika inchi ya Wagedari, watu wawili wenye pepo wakamufikia, wakitoka kwenye makaburi. Watu wale walikuwa na pepo wakali sana, hata hakuna mutu aliyesubutu kupita katika njia ile. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |