Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 8:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Yesu alipofika ngambo ingine ya ziwa la Galilaya, katika inchi ya Wagedari, watu wawili wenye pepo wakamufikia, wakitoka kwenye makaburi. Watu wale walikuwa na pepo wakali sana, hata hakuna mutu aliyesubutu kupita katika njia ile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 8:28
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na vilevile babu ya Wayebusi, Waamori, Wagirgasi,


Waamori, Wakanana, Wagirgasi na Wayebusi.”


Habari zake zikavuma katika inchi yote ya Suria. Wakamuletea watu wote walioteswa na magonjwa mbalimbali na wenye maumivu ya kila namna, wenye pepo, wenye kifafa na wenye kupooza, naye Yesu akawaponyesha.


Nao wakashangaa, wakisema: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”


Tena ninyi munajua namna Mungu alivyomuchagua Yesu wa Nazareti kwa kazi yake, akimujaza na Roho Mutakatifu na kumupatia uwezo. Naye alipita fasi zote akitenda mema na kuwaponyesha watu wote waliokuwa chini ya mamlaka ya Shetani. Ilitendeka vile kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.


“Yawe, Mungu wenu atawafikisha kwenye inchi ambayo mutakwenda kufanya makao yenu na atafukuza mataifa mengi kutoka inchi hiyo. Mutakapoingia, atafukuza mbele yenu mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi: Wahiti, Wagirgasi, Waamori, Wakanana, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.


Katika siku za Samugari mwana wa Anati, katika wakati wa Yaeli, makundi ya watu yalikoma kupita katika inchi, wasafiri walipitia njia za pembenipembeni.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ