Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 8:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Wanafunzi wake wakamujongelea, wakamwamusha na kumwambia: “Bwana, utuokoe! Tunakufa!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 8:25
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akawashinda Waetiopia mbele ya Asa na jeshi lake la watu wa Yuda. Waetiopia wakakimbia.


Wewe ndiwe Mungu wetu! Uwaazibu, maana sisi hatuna uwezo wowote mbele ya jeshi kubwa kama hili linalotufikia. Hatujui la kufanya lakini tunatazamia musaada kutoka kwako.”


Ee Yawe, mbona unasimama mbali? Kwa nini unajificha wakati tuko katika taabu?


Kapiteni wa mashua akamwendea, akamwambia: Namna gani wewe unaweza kulala? Amuka umwombe Mungu wako; labda Mungu wako atatuhurumia na kuyaokoa maisha yetu.


Halafu mutu mumoja mwenye ukoma akakuja, akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa.”


Mara moja zoruba kubwa ikatokea katika ziwa na maji yakajitupatupa ndani ya chombo. Lakini Yesu alikuwa amelala usingizi.


Yesu alipokuwa hajamaliza kusema maneno hayo, mukubwa mumoja akafika, akapiga magoti mbele yake na kumwambia: “Binti yangu anakufa sasa hivi; lakini kuja, uweke mikono yako juu yake kusudi apate kufufuka.”


Basi wanafunzi wake wakamujongelea, wakamwamusha wakisema: “Bwana, Bwana, tunakufa!” Yesu alipoamuka, akakaripia zoruba, nayo ikakoma na maji yakatulia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ