Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 8:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Na mutu mwingine mumoja kati ya wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, unipe ruhusa kwanza niende kuzika baba yangu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 8:21
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe wa majeshi anasema hivi: Watu hawa wanasema kwamba wakati wa kuijenga upya nyumba ya Yawe haujafika.


Na kila mutu aliyeacha nyumba yake, kaka, dada, baba, mama, watoto au mashamba kwa ajili yangu, atapokea mara nyingi zaidi na kupewa uzima wa milele.


Yesu akamujibu: “Mbweha wako na makao yao ndani ya matundu, nao ndege wako na chicha, lakini Mwana wa Mutu hana nafasi ya kulala.”


Lakini Yesu akamujibu: “Unifuate mimi, uwaache hao wafu wazike wafu wao.”


Kwa hiyo basi, tangu sasa hatumuhesabu tena mutu yeyote kufuatana na hali ya kimutu. Hata ikiwa tulimuhesabu Kristo kufuatana na hali ya kimutu, kwa sasa hatumuhesabu tena kufuatana na hali ile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ