Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 8:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Yesu alipoona kundi la watu wakimuzunguka, akatoa amri ya kuvuka ngambo ingine ya ziwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 8:18
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mara moja kisha mambo hayo, Yesu akawalazimisha wanafunzi wake waingie ndani ya chombo na kumutangulia ngambo ingine ya ziwa. Kwa wakati ule yeye alibaki akiaga lile kundi la watu.


Yesu aliposhuka toka kwa mulima, makundi mengi ya watu wakamufuata.


Na ilipotimia magaribi siku ile ile, Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Tuvuke ngambo ingine ya ziwa.”


Yesu akavuka ngambo ingine ya ziwa la Galilaya. Alipokuwa pembeni ya ziwa, watu wengi wakakusanyika karibu naye.


Pale pale Yesu akawalazimisha wanafunzi wake waingie ndani ya chombo na kumutangulia ngambo ingine ya ziwa la Galilaya kuelekea muji Betesaida. Kwa wakati ule alibaki akiaga lile kundi la watu.


Kisha akawaacha, akaingia tena ndani ya chombo, akaanza kuvuka ziwa.


Siku moja Yesu akaingia ndani ya chombo pamoja na wanafunzi wake. Naye akawaambia: “Tuvuke ngambo ya ziwa.” Basi wakaondoka.


Wakati Yesu alipotambua kama walitaka kuja kumutwaa kwa nguvu na kumuweka kuwa mufalme, akaondoka na kwenda tena kwa kilima peke yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ