9 Ni nani kati yenu anayeweza kumupa mutoto wake jiwe kama akimwomba mukate?
Au nani anaweza kumupa nyoka kama akimwomba samaki?
Kwa maana kila mutu anayeomba, anapewa; naye anayetafuta, anapata, naye anayepiga hodi, anafunguliwa.