Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kwa maana kila mutu anayeomba, anapewa; naye anayetafuta, anapata, naye anayepiga hodi, anafunguliwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 7:8
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maombi yake na jinsi Mungu alivyomupokea, zambi zake zote na ukosefu wa uaminifu kwake, pahali alipojenga pa kutambikia na jinsi alivyotengeneza sanamu za Ashera na sanamu zingine mbele ya kujinyenyekeza, vimeandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Waonaji.


Uitafute furaha yako kwa Yawe, naye atakujalia unayotamani katika moyo.


Usikuwe na mungu wa kigeni; usiabudu hata kidogo mungu mwingine.


Wanaonichukia wangenipigia magoti kwa hofu, na azabu yao ingekuwa ya milele.


“Muombe, nanyi mutapewa; mutafute, nanyi mutapata; mupige hodi, nanyi mutafunguliwa mulango.


Ni nani kati yenu anayeweza kumupa mutoto wake jiwe kama akimwomba mukate?


Kwa maana kila mutu anayeomba anapewa; anayetafuta anapata, anayepiga hodi anafunguliwa mulango.


Yesu alialikwa vilevile kwenye ndoa ile pamoja na wanafunzi wake.


Bwana akamwambia: “Kwenda katika barabara wanayoita ‘Yenye Kunyooka,’ uingie ndani ya nyumba ya Yuda, na mule umutafute mutu wa muji wa Tarso anayeitwa Saulo, utamukuta akiomba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ