Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 7:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Mvua ikanyesha, mito ikajaa, upepo ukavuma na kupiga nyumba ile, nayo ikaanguka na kubomoka kabisa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 7:27
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hao walifagiliwa mbele ya wakati wao, misingi yao imepelekwa mbali na maji.


ambavyo nimeviweka kwa ajili ya wakati wa fujo, kwa ajili ya siku ya mapigano na vita?


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, nao upepo ukavuma na kuishambulia nyumba ile, lakini haikuanguka, kwa sababu musingi wake ulikuwa umejengwa juu ya jiwe.


“Lakini kila mutu anayesikia maneno ninayotoka kusema bila kuyashika, anafananishwa na mutu mupumbafu aliyejenga nyumba yake juu ya udongo wenye kichanga.


Yesu alipomaliza kusema maneno hayo, makundi ya watu wakashangaa sana kwa kuona namna alivyowafundisha;


Lakini hali ya kazi ya kila mutu itaonekana wazi, kwa sababu Siku ile ya hukumu itaionyesha waziwazi. Kwa maana Siku ile itajitokeza katikati ya moto, na moto ule ndio utakaopima na kuonyesha hali ya kazi ya kila mutu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ