Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 7:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 “Basi kila mutu anayesikia hayo maneno yangu na kuyashika, anafananishwa na mutu mwenye akili aliyejenga nyumba yake juu ya jiwe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 7:24
41 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Mungu akamwambia mwanadamu: Sikia! Kumwogopa Bwana ndiyo hekima, na kujitenga na uovu ndiyo maarifa.


Kumwogopa Yawe ni musingi wa hekima; wote wanaotii amri zake wanajaliwa akili. Sifa zake zinadumu milele.


Maelezo ya mafundisho yako yanaleta mwangaza; yanawapa akili wajinga.


Ninaelewa kuliko walimu wangu wote, kwa sababu ninafikiri juu ya maagizo yako.


Upepo mukali unapopita na mwovu anatoweka, lakini mwenye haki anaimarishwa milele.


Mwenye hekima anakubali maonyo, lakini mupumbafu anayesemasema mingi ataangamia.


Waovu wanaangamizwa na kutoweka kabisa, lakini jamaa ya wenye haki itasimama.


Hekima ya mwenye akili inamwonyesha njia yake, lakini upumbafu wa wapumbafu unawadanganya wenyewe.


Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu anayekuwa katika mbingu, huyu ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu.”


Nami sasa ninakuambia: ewe Petro, wewe ni jiwe, na juu ya jiwe hili, nitajenga musingi wa kanisa langu, na hata uwezo wa lufu hautaweza kulishinda.


“Basi ni nani anayekuwa mutumishi mwaminifu na mwenye akili? Ni yule bwana wake aliyemuweka kuwa musimamizi wa watumishi wake wengine na kumwamuru kuwapatia posho yao kwa wakati uliopangwa.


Watano kati yao walikuwa wajinga na watano walikuwa wenye akili.


Lakini wale wenye akili walitwaa machupa ya mafuta pamoja na taa zao.


Lakini wale wenye akili wakajibu: ‘Haiwezekani, mafuta tunayokuwa nayo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.’


Mvua ikanyesha, mito ikajaa, nao upepo ukavuma na kuishambulia nyumba ile, lakini haikuanguka, kwa sababu musingi wake ulikuwa umejengwa juu ya jiwe.


“Lakini kila mutu anayesikia maneno ninayotoka kusema bila kuyashika, anafananishwa na mutu mupumbafu aliyejenga nyumba yake juu ya udongo wenye kichanga.


Lakini Yesu akajibu: “Heri zaidi wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii!”


Sasa kwa kuona munajua jambo hili, mutakuwa wenye heri kama mukilifanya.


“Kama munanipenda, mutashika amri zangu.


Kama mukishika amri zangu, mutakaa katika upendo wangu, kama vile mimi nilivyoshika amri za Baba yangu na kukaa katika upendo wake.


Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.


Ni vile kwa sababu si wale wanaosikia Sheria ndio wanaohesabiwa haki mbele ya Mungu, lakini ni wale wanaotii Sheria.


Sisi tunatambua kwamba tunamujua Mungu ikiwa tunashika amri zake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ