Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 7:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Halafu mimi nitawaambia hivi waziwazi: ‘Sikuwajua ninyi hata siku moja. Mutoke karibu nami, ninyi watenda maovu.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 7:23
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Wewe si Mungu anayependa ubaya; mwovu hawezi kupokelewa kwako.


Macho yangu yamechoka kwa huzuni; yamefifia kwa kutaabishwa na waadui.


Lakini bwana akajibu: ‘Kweli ninawaambia: mimi siwajui ninyi.’ ”


“Kisha mufalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: ‘Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake!


“Mwenye nyumba atakapokwisha kusimama na kufunga mulango, ninyi mutabaki inje na kuanza kupiga hodi na kusema: ‘Bwana, utufungulie.’ Naye atawajibu: ‘Sijui munatokea wapi.’


Lakini atawaambia tena: ‘Sijui munatokea wapi. Mutoke karibu nami, ninyi wote watenda maovu!’


Mimi ni muchungaji mwema. Ninajua kondoo wangu na kondoo wangu wananijua,


Lakini musingi uliojengwa na Mungu, unasimama imara. Nayo maneno haya yamechapwa juu ya musingi ule “Bwana anajua wale wanaokuwa wake,” na haya mengine: “Kila mutu anayesema kwamba yeye ni wa Bwana anapaswa kujitenga na maovu.”


Lakini mbali ya muji ule kuna watu wenye kuchukiza, wachawi, wazinzi, wauaji, wanaobudu sanamu na wasema uongo na wote wanaoupenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ