“Muti ukiwa muzuri, matunda yake yatakuwa mazuri vilevile; nao muti ukiwa mubaya, matunda yake yatakuwa mabaya vilevile. Kwa maana muti unatambulikana kwa matunda yake.
Na sasa mimi ninawashauria ninyi, musiwafuatilie watu hawa, muwaache wajiendee. Kwa maana ikiwa mupango huu na hii kazi yao vimeanzishwa na mwanadamu, sherti vitaharibika.
Wandugu zangu, muti unaotoa matunda ya tini unaweza kutoa matunda ya muzeituni? Au muzabibu unaweza kutoa matunda ya tini? Hapana! Hivi vilevile kisima kinachotoa maji ya chumvi hakiwezi kutoa maji matamu.