Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 7:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Basi kwa hiyo, mutawatambua manabii wa uongo kwa njia ya matendo yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 7:20
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Muti ukiwa muzuri, matunda yake yatakuwa mazuri vilevile; nao muti ukiwa mubaya, matunda yake yatakuwa mabaya vilevile. Kwa maana muti unatambulikana kwa matunda yake.


Mutawatambua kwa matendo yao. Watu hawachumi matunda ya mizabibu au ya tini toka juu ya miti ya miiba.


Kwa maana kila muti unajulikana kwa njia ya matunda yake. Watu hawachumi matunda ya tini au mizabibu juu ya miti ya miiba.


Na sasa mimi ninawashauria ninyi, musiwafuatilie watu hawa, muwaache wajiendee. Kwa maana ikiwa mupango huu na hii kazi yao vimeanzishwa na mwanadamu, sherti vitaharibika.


Wandugu zangu, muti unaotoa matunda ya tini unaweza kutoa matunda ya muzeituni? Au muzabibu unaweza kutoa matunda ya tini? Hapana! Hivi vilevile kisima kinachotoa maji ya chumvi hakiwezi kutoa maji matamu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ