18 Muti muzuri hauwezi kutoa matunda mabaya, wala muti mubaya hauwezi kutoa matunda mazuri.
Na ni vile inavyokuwa: kila muti muzuri unazaa matunda mazuri, lakini kila muti mubaya unazaa matunda mabaya.
Kila muti usiozaa matunda mazuri unakatwa na kutupwa katika moto.
“Hakuna muti muzuri unaoweza kutoa matunda mabaya, wala hakuna muti mubaya unaoweza kutoa matunda mazuri.
Kwa maana tamaa za kimwili zinapingana na tamaa za Roho Mutakatifu. Na tamaa za Roho zinapingana na tamaa za kimwili. Hao wawili wanapingana hata munashindwa kufanya sawa vile munavyotaka.