Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 6:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Muangalie ndege wanaoruka katika anga: wao hawapandi mbegu wala hawavuni, wala hawaweki mavuno ndani ya gala, lakini Baba yenu anayekuwa mbinguni anawakulisha! Basi ninyi si wa lazima zaidi kuliko ndege wale?

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 6:26
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Utwae vilevile aina zote za vyakula vinavyokuliwa, uvilinde kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hivyo.”


anayetuelimisha kuliko nyama, na kutufanya wenye hekima kuliko ndege!”


Ni nani anayewapa vibombobombo chakula chao, vitoto vyao vinaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na kule kwa njaa?


Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.


Ndege wote wa mwitu ni mali yangu, na viumbe vyote vinavyoishi katika pori ni vyangu.


Ni wapagani ndio wanaoshugulika kwa kutafuta vitu vile vyote. Baba yenu anayekuwa mbinguni anajua kama munahitaji vitu vile vyote.


Ni nani kati yenu anayeweza kumupa mutoto wake jiwe kama akimwomba mukate?


Kisha akajisemesha: ‘Nitafanya hivi: nitabomoa gala zangu na nitajenga zingine kubwa zaidi, na mule nitaweka mavuno yangu yote na mali zangu zingine.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ