Matayo 6:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 “Munapofunga kula chakula, musifanye kama wanafiki, wanaojigeuza kuwa wenye sikitiko na kukunja nyuso zao, kusudi watu waone kwamba wanafunga. Kweli ninawaambia: wamekwisha kupata faida yao. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |