15 Lakini kama musipowasamehe wengine wanaowakosea, Baba yenu hatawasamehe makosa yenu vilevile.
Yesu akaongeza kusema: “Ni hivi vilevile Baba yangu anayekuwa mbinguni atakavyowatendea ninyi, kama kila mumoja wenu asipomusamehe ndugu yake kwa moyo wake wote.”
Heri wale wanaokuwa na huruma, maana Mungu atawahurumia!
“Hivi, mukiwasamehe watu wengine makosa wanayowatendea, Baba yenu anayekuwa mbinguni atawasamehe vilevile.
Lakini musipowasamehe wengine, Baba yenu anayekuwa mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu vilevile.]”