Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 5:43 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

43 “Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Umupende mwenzako, lakini umuchukie adui yako.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 5:43
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hata rafiki yangu wa moyo niliyemwamini, rafiki aliyechangia chakula nami, amegeuka kunishambulia!


Usijilipize kisasi au kuwa na kinyongo juu ya wazao wa watu wako lakini umupende mwenzako kama vile unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ni Yawe.


uwaheshimu baba yako na mama yako na kumupenda mwenzako sawa wewe mwenyewe.”


“Mumesikia kwamba babu zenu waliambiwa: ‘Usiue; mutu yeyote anayeua anapaswa kuhukumiwa.’


“Mumesikia kwamba imesemwa: ‘Usizini.’


“Na mwana haramu yeyote, wala muzao wake hata kizazi cha kumi, haruhusiwi kuingia katika kusanyiko la watu wa Yawe.


Lakini Yawe, Mungu wenu, hakumusikiliza Balamu; pahali pake laana hiyo iligeuka kuwa baraka, kwa sababu Yawe, Mungu wenu, aliwapenda.


“Mukumbuke kitendo cha Waamaleki mulipokuwa katika safari kutoka Misri.


Munafanya vizuri kama mukitimiza sheria hii ya kifalme inayopatikana katika Maandiko Matakatifu: “Umupende mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.”


Basi hii ndiyo amri tuliyopewa na Kristo: yule anayemupenda Mungu anapaswa kumupenda ndugu yake vilevile.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ