38 “Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’
“Mumesikia kwamba babu zenu waliambiwa: ‘Usiue; mutu yeyote anayeua anapaswa kuhukumiwa.’
“Mumesikia kwamba imesemwa: ‘Usizini.’
basi, mutamutendea sawa vile alivyokusudia kumutendea ndugu yake. Ndivyo mutakavyokomesha uovu kati yenu.
Musiwaonee huruma watu wa aina hiyo. Uzima utalipwa kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mukono kwa mukono na muguu kwa muguu.