36 Mutu asiape akitaja hata kichwa chake mwenyewe, kwa maana hawezi kugeuza hata unywele wake mumoja kuwa mweupe au mweusi.
wala kwa jina la dunia, kwa maana ni kiti chake cha kupumzishia miguu; wala kwa jina la Yerusalema, kwa maana ni muji wa Mufalme mukubwa.
Lakini munaposema, museme tu: ‘Ndiyo,’ au ‘Hapana,’ kwa maana maneno yanayosemwa zaidi ya hayo yanatoka kwa yule mwovu Shetani.
Nani kati yenu, kwa ajili ya kujisumbua kwake, anaweza kujiongezea hata siku moja kupita muda wa maisha yake?