Matayo 5:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Lakini mimi ninawaambia: mutu yeyote anayeachana na muke wake, isipokuwa tu kwa sababu ya uzinzi, anamufanya muke yule kuwa muzinzi kama akiolewa tena. Na mutu anayemwoa yule muke aliyefukuzwa, anazini vilevile. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |