27 “Mumesikia kwamba imesemwa: ‘Usizini.’
Usizini.
Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.
Usilale na muke wa mwenzako na hivyo kujichafua naye.
Kama mwanaume akifanya uzinzi na muke wa mwenzake, wote wawili wanapaswa kuuawa.
“Mumesikia kwamba babu zenu waliambiwa: ‘Usiue; mutu yeyote anayeua anapaswa kuhukumiwa.’
“Mumesikia vilevile kwamba babu zenu waliambiwa hivi: ‘Usifanye viapo vya uongo, lakini sherti utimize viapo vyako mbele ya Bwana.’
“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Jicho kwa jicho, na jino kwa jino.’
“Mumesikia kwamba imesemwa hivi: ‘Umupende mwenzako, lakini umuchukie adui yako.’
“Usizini.