“Kisha mufalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: ‘Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake!
Unapokwenda kwa tribinali na mupinzani wako, ujikaze upatane naye mungali katika njia. Kama si vile atakupeleka mbele ya mwamuzi, na mwamuzi atakutoa kwa askari, na askari atakutupa katika kifungo.
Na zaidi ya hii kuna shimo kubwa sana kati yetu na ninyi. Hivi wale wanaokuwa huku wakitaka kufika kule kwenu hawawezi, wala wale wanaokuwa kule hawawezi kuvuka kwa kufika huku kwetu.’