Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 5:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Kweli ninakuambia: hautatoka mule mpaka utakapomaliza kulipa sengi ya mwisho.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 5:26
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ndege wawili wadogo wanauzishwa kwa bei chini kabisa. Ingawa vile hakuna hata mumoja wao anayekufa bila mapenzi ya Baba yenu.


Basi yule bwana akakasirika sana, akamutoa mutumishi yule aazibiwe mpaka atakapolipa lile deni lake.”


“Kisha mufalme atawaambia wale wanaokuwa kwa upande wake wa kushoto: ‘Muondoke hapa karibu nami, ninyi muliolaaniwa! Muende katika moto usiozimika hata milele, uliotayarishwa kwa ajili ya Shetani na wamalaika wake!


Halafu hawa watakwenda kwenye nafasi watakapoazibiwa kwa milele, lakini wenye haki wataingia kwenye uzima wa milele.”


Na kukakuja mujane mumoja masikini, akatoa vikoroti viwili vidogo sana vinavyolingana na sengi mbili.


Unapokwenda kwa tribinali na mupinzani wako, ujikaze upatane naye mungali katika njia. Kama si vile atakupeleka mbele ya mwamuzi, na mwamuzi atakutoa kwa askari, na askari atakutupa katika kifungo.


Ninakuambia: hautatoka mule mpaka utakapomaliza kulipa sengi la mwisho.”


Na zaidi ya hii kuna shimo kubwa sana kati yetu na ninyi. Hivi wale wanaokuwa huku wakitaka kufika kule kwenu hawawezi, wala wale wanaokuwa kule hawawezi kuvuka kwa kufika huku kwetu.’


Azabu yao itakuwa kuangamizwa kwa milele, na kutengwa mbali na uso wa Bwana na mbali na utukufu wa uwezo wake,


Kwa sababu Mungu hatahurumia mutu yule asiyehurumia wengine. Lakini huruma ya Mungu itaishinda hukumu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ