2 Naye akaanza kuwafundisha akisema:
Kisha hayo, Yobu akaamua kusema. Akalaani siku aliyozaliwa.
Musikilize maana nitakachosema ni jambo la lazima; katika midomo yangu mutatoka mambo ya haki.
Ilitokea vile kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii: “Nitasema nao kwa mifano, nitawaambia maneno yaliyofichwa tangu kuumbwa kwa dunia.”
Yesu alipoona yale makundi ya watu, alipanda kwenye kilima. Alipokwisha kuikaa, wanafunzi wake wakamujongelea.
Basi Petro akaanza kuhubiri, akisema: “Sasa ninafahamu kwamba Mungu hana upendeleo,
Paulo alipotaka kusema, Galio akawaambia Wayuda: “Kama mungemushitaki mutu huyu juu ya neno la uovu au kosa kubwa alilofanya, ningewasikiliza ninyi Wayuda vema.
Basi Filipo akaanza na sehemu ile ile ya maandiko, akamwelezea Habari Njema juu ya Yesu.
Muniombee vilevile, kusudi Mungu anijalie maneno ya kusema. Kwa hiyo nitaweza kuwajulisha watu kwa uhodari siri ya Habari Njema.