Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, ujitupe chini; kwa maana imeandikwa: ‘Mungu atawaamuru wamalaika wake na watakubeba katika mikono yao, kusudi muguu wako usijikwae juu ya jiwe.’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 4:6
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Si wewe mwenyewe unamulinda pande zote pamoja na jamaa yake na kila kitu anachokuwa nacho? Wewe umemubariki na mali yake imeongezeka katika inchi.


Nawe utapatana na mawe ya shamba, na nyama wakali watakuwa na amani nawe.


Mateso ya mutu wa haki ni mengi, lakini Yawe anamwokoa kutoka katika yote.


Masikini alimulilia Yawe, naye akamusikia, na kumwokoa katika taabu zake zote.


Yesu akamujibu: “Imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Mutu hawezi kuishi kwa mukate tu, lakini kwa njia ya kushika kila neno Mungu analosema.’ ”


Na jambo hilo si la kushangaza kwa maana Shetani mwenyewe anajisingizia kuwa malaika wa mwangaza.


Malaika ni nini, basi? Wao wote ni roho wanaomutumikia Mungu na wanaotumwa naye kwa ajili ya faida ya wale wanaopaswa kuokolewa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ